Kama Kawaida!
Da sijui nianzie wapi ila kwa mrembo Sophia ni kama kawaida yake yakulipuka pamba simple na zinazomtoa nyoko bovu na kwa kusema ukweli namkbali sana kwenye sector hiyo nyeti...mrembo sophia wape hi sana sister salma na amina na wadau wote wa hko....aminia mtoko huo!
3 comments:
Luv the handbag..coz i m Chanel fan...and ur lukin good..
cute sophie!
Jamani binti upoooooo!!yaani fimbo zazidi endelea toka mitaa ileee mpaka leo!!mweeeh
Juuu zaidi mama salimia madadazzzzz
PamoJAH swaiba!!
Post a Comment