Wednesday, 20 June 2007
Angelz.....!
Hayo ndio mambo ya kuvaa simple na kutoka bomba...hao ni warembo wakiwa na mdau wangu mkubwa j kwenye mtok flani na wakiwa wamejipigilia pamba simple lakini wametoka...Asante sana mrembo j kwa stock hii matata na safi sana....
1 comment:
DERRICK MUSHOBOZI
said...
pozi mwanana halafu wametoka bomba ndani ya pamba nyepesi
21 June 2007 at 00:47
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
pozi mwanana halafu wametoka bomba ndani ya pamba nyepesi
Post a Comment