



Hiyo ndio tunaita kazi nzuri sana kwa kuona pale bongo watu wanajiachia vilivyo na kuwa wabunifu sana kwenye maswala mazima ya ful kujiachia sehemu za maana na simple na hata watu wanaohudhuria wanajipigilia pamba kali na ndefu....kama pichani ilikuwa majuzi tu hapo watu walijinafasi vilivyo kwenye Birttday Party ya Amour na kujiachia vilivyo kwa kwenda mbele napenda kuwapa bg up sana waandaaji na vilevile mwenye shughuli hiyo kwa kufanya bash ya maana...big up sana mdau wng mkubwa Derrick kwa kunidunga stock hiyo maanake pamba watu wamelipuka fresh sana ....Bongo sooooooooooooo!
1 comment:
Kwa kifupi washikaji walilipuka pamba simple
Post a Comment