Wednesday, 26 December 2007

Salam Za Xmas & New Yr

Salam za Xmas Na New Yr zimetoka kwa mrembo na mdau wng mkubwa Sophia Mk akiwa anawataka watu wote kila la Kheri na mafanikio tele katika sikukuu hiyo..na mm namshukuru sana kwa salamu zake hizo na kumwambia mlipuko aliolipuka kwenye hyo snapu ametoka nyoko sana...Big Up sana Sophia....Salamu kwa Jasmine

6 comments:

Anonymous said...

Dada katoka nduki ile mbayaaa

Anonymous said...

Dah!!dada aminia...anajua kupanilia sana,bomba mbaya...

Anonymous said...

mbuti ya beyonce umeipata wapi dada yangu? na mimi naitaka sana. Mambo ya Dereon hayo. Please naomba unijibu hapa hapa kwa sheria.

Anonymous said...

mbona kama nakujua wewe mdada,enzi zile za kilakala!!!

Anonymous said...

waooo...xmass ilikuwa safiiiii

DERRICK MUSHOBOZI said...

Gud lukin very nice big up sana