Diddy!![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh5IZkvV4ZtE6PSMBUsfbbomrhgapI7ckZXjXu6lK3Hv_61Bzikzft2yZHdofXwmUCEa3STIuG55vTInWnbi7M8zWYQW0jf3MvqXG5JeM6cKWctGc0bfkqht8xFP0Ow8GGxmS6YYJPxiCoN/s400/1453623124_l.jpg)
Huyo ndio mzee mzima Diddy akiwa kalipuka jumba moja la maana....embu tazama hiyo 3p suit aliyovaa wa ndani na pia kuanzia hilo koti kubwa juu,shati na hiyo narrow tie aliyovaa ndani na miwani aliyovaa juu...mhh kusema ukweli katia marapper US nadhani kwa mtazamo wangu hakuna anayemfikia huyu jamaa kwa kulipuka suti za maana kama yeye au wadau mnasemaje kuna mpinzani mwingine mnayemuona anampita jamaa huyu?
No comments:
Post a Comment