Hao ni wadau zangu wa H.Town wakiwa katika bash moja matata na kama uonavyo wabongo siku zote tunajiachia vilivyo kuanzia pamba ndio usiseme..hapo ni wadau zang wakubwa shani,mzee mzima mzam na mrembo azzy walivyolipuka nyoko mpaka sana...maanake hiyo hisabati yenu nimeisoma vilivyo ni sooooo........safi sana
2 comments:
Sijawazimia kabisa hayo si mavazi ya kutisha watu, yamejaa kibao bongo mtumbani sagurasagura
is this what you call fashion. Jamani sheria yani hapo umeona hao watu wametoka, ebu acha bwana kuna madada zaidi ya hao huku ughaibuni ebu tuwekee watu wa maana. hao mbona wamechoka.
Post a Comment