
Usimple sumtime inamatter kinoma hasa kwenye uvaaji,kama uonavyo hapo pichani mapigo niliyokuwekea ni yametulia sana endapo unataka kulipukia kwenye mitoko simpo au hata ukiwa unaenda kufanya mambo flani ya shopping...kuanzia chini nimekuwekea hiyo Bright Green Sandal,Kipensi/kikaptula hicho,BKE Scoop Neck Tank,Na Kikoti unamalizia kujipigilia kwa juu?Candy unaonaje hapo?




1 comment:
Hiyo nimeipenda Sheria...especially the shoes...I would wear it right now but the weather is a bit not too good 4 it...keep doin ur job sheria!!
Post a Comment