Mambo Ya Rock Style!
Hayo ndio mambo ya Rock Style...kama kawaida uvaaji huu uko funky sana pia ukipata nafasi ya kukamua stock kama hizi unatakiwa uwe nastyle flani ambayo ukilipuka 2 watu wanakukubali...kama kawaida down nimekupa kuanzia hiyo Black Burnished Leather Boot,Guess Jeans,Chain Wallet,Affliction Lion Shield T-Shirt,A.J. Morgan Mumbles Sunglasses na kumalizia msumari wa mwisho kwa kuvaa hiyo BKE Cross Cuff.......Nash unasemaje hapo na Frank Pune?
No comments:
Post a Comment