Saturday, 6 March 2010

Miss TZ 2006 Richa Adhia akipungia baada ya kutawazwa Samsung Miss TZ India 2010 na kuwa mwakilishi wetu katika fainali za Miss India Worldwide zitazofanyika mwisho wa mwezi huu huko johanesburg sauzi.
ankal hashim lundenga na miss tz 2009 miriam wakimpongeza richa
Richa na wadogo zake
richa adhia akipokea LCD ya samsung kama moja ya zawadi zake
bango la samsung miss tanzania india likizinduliwa
balozi wa india nchini Mh. K.V. Bhagirath akitoa hotuba yake
THT waliburudisha na miondoko ya kihindi
simba theatre troupe walitoa burudani
balozi wa India nchini Mh. Bhagirath akimpa kadi mama yake richa wakati wa hafla hii
balozi wa India nchini Mh. Bhagirath (wa pili kulia) na wageni waalikwa
mwandaaji na mbunifu wa mitindo mustafa hassanali na mamodo wake

Richa Adhia Kutuwakilisha Miss India Worldworldwide
.

Picha Zote Kwa Hisani Ya Michuzi.

No comments: