Miss TZ 2006 Richa Adhia akipungia baada ya kutawazwa Samsung Miss TZ India 2010 na kuwa mwakilishi wetu katika fainali za Miss India Worldwide zitazofanyika mwisho wa mwezi huu huko johanesburg sauzi.
mwandaaji na mbunifu wa mitindo mustafa hassanali na mamodo wake Richa Adhia Kutuwakilisha Miss India Worldworldwide.
Picha Zote Kwa Hisani Ya Michuzi.









No comments:
Post a Comment