Wednesday, 3 March 2010


Modo akipita mbele ya Watazamaji wakiwa kwenye mavazi ya asili ya Khanga
Christine Mhando (Chichia) katikaLondon Fashion Week

Mwanadada Christine Tido Mhando, maarufu kama Chichia – London, anaendelea kutesa katika Ulimwengu wa Mavazi nchini Uingereza na Ulaya kwa ujumla. Pichani ni Maonyesho maarufu ya Mavazi yajulikanayo kama London Fashion week, yaliyofanyika wikiendi iliyopita katika Ukumbi wa Battersea Art Centre- London









Angalia video ya shoo hiyo hapa

No comments: