Wednesday, 14 July 2010

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjT_d_sx__qPw2CQLvwDEShYTSkxvFQeDQ2g9Cwun2lTEFcKGQGIWpjrzf5sWVr0ISOaAmM49-2BXBHz0_1MfLIOqlGv_2spdg-FL-GkL6QLW3iKx90kVIE27GQhN0IHfmpV6IH3QjYhqE/s400/mwakyusa.JPG

Mwakyusa: Tumshukurmu Mungu kwa dawa ya ukimwi

WAKATI wanasayansi waliogundua dawa ya Ukimwi wakiweka bayana jinsi inavyofanya kazi mwili kupambana na ugonjwa huo, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Profesa David Mwakyusa amemshukuru Mungu kwa taarifa za ugunduzi wa dawa hiyo.Taarifa ya kupatikana kwa dawa hiyo zilitangazwa mwishoni mwa wiki na wanasayansi wa Taasisi ya Magonjwa ya Kuambukiza na Mzio (Niaida) ya Marekani, akisema kuwa tiba hiyo inaweza kutibu ugonjwa huo hatari kwa asilimia 90, kiwango kinachoiweka dawa hiyo kwenye uwezekano mkubwa wa kupitishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) na hivyo kuanza kutumika rasmi.

Click Here For More

No comments: