Kumbukeni warembo na mabinti kwamba swala viatu vinavyotumia style chui chui haviko kwa style hiyo moja vya style ya zebra....kama hicho pichani hicho kiatu mnasemaje style yake warembo hapo?
2 comments:
Anonymous
said...
Heheee!!...Hapo kaka Sheria umenikuna mpaka kwenye ubongo...zebra style is my style...not chuichui....I think unanikumbuka kaka sheria...Thanks
2 comments:
Heheee!!...Hapo kaka Sheria umenikuna mpaka kwenye ubongo...zebra style is my style...not chuichui....I think unanikumbuka kaka sheria...Thanks
Eheee mkuu mdungo huo umesimama vilivyo nimeukubali kisawasawa i hope zeze atakuwa ameuona huu mdungo shamim upo bibie klamata kitu hicho...
Post a Comment