


Ukikaa ukasikia Bongo ni kam New York basi usibishe sana kwakuwa kama uko nje kwa muda mrefu na hujafika bongo kwa kipindi kirefu kidogo basi kaa ukijua ukirudi bongo maisha,starehe na upigiliaji pamba kali na balaa ni soo na watu wako juu kuliko unavyotarajia nasema hivi katika swala zima la pamba na starehe za hapa na pale kusema ukweli kumepiga hatua sana na uonavyo baadhi ya picha nilizokudunga hapo juu....hizo ni baadhi tu ya shamra shamra za bongo na kwa kweli inatia moyo sana kuona bongo kunaendelea kwa kasi na watu kujivinjari kila kona na kula bata......napokuambia ni sooo kaaa mkijua ndugu wadau zangu ni sooooooooooooooooooo kwelikweli.....mrembo shani,shamim,jema,sophia,judith,candy1na sister c mpo hapo?
2 comments:
nakubali kabisa bongo new york sheria............pesa yako tu ila kila kitu kipo...aluuuuuuuuuuuuu
from all da pics...i like first and the second photo....they can dress..i mean they look stunny..the second pic...no comments...nice job sheria...it's candy1
Post a Comment