Wakilisha........
Safiiiiiiiiiiiiiii napenda kuwapa shavu la maana wabongo wenzangu walioko mbele kwa kulipuka nondo au pamba za maana si mchezo kama uonavyo pichani...ukiambiwa wabongo ni balaa kwa kujilipua kwa pamba naomba usibishe ila itakubidi ukubali tu kwa moyo mmoja...embu chekini wakurugenzi walivyolipuka pamba simple na za maana na zimewatoa kinoma kinoma?tazama kuanzia mzee mzima mzum na wakurugenzi wenzie wakiwa wamelipuka yenyewe bila kubahatisha kabisa na wametoka balaa sana kwenye picha hiyo..ni sooo..nawapa big up sana
No comments:
Post a Comment