Thursday, 12 June 2008

RIHANNA!

Jamani na waremb wa Blog hii naomba niwaulize ni mwanamziki gani mwanamke kwa kipindi hiki anaweza kumfikia Rihanna kwa Upande wa Fashion kwasasa....mimi kwa upande wangu ni namba moja ...je wewe mdau nani unaona anaweza kuwa mpinzani au zaidi yake?

5 comments:

Faith S Hilary said...

"kwa sasa" naona hampati mtu japo other female celebrities dress nice...thats my opinion

Anonymous said...

jamani mi mbona naona yuko kawaida tuuuuuuuuu.. ebu onyesha picha nyingine to prove... mmmh

Anonymous said...

Kuna mdada moja anaitwa "P" amepungua ile mbaya nadhani ndio mzuri kulikio rihana hahahaha

Anonymous said...

Jamani penye sifa mwageni sifa acheni uchoyo mimi kama mimi waukweli namkubali sana Rihana hana mpizani kwa sasa labda aje atokee apobaadae.Big up Rihana.

Anonymous said...

weeee anon nani hapo juu nikikukamata haya jifanye mjanja umenipata this time lakini kweli mimi mzuri kuliko Rihanna ehee pia kwa pamba zangu nyepesi anikuti ng'oooooooo.ukweli kwa sasa Rihanaa yuko juu kuliko macelebrity wengi kwa mavazi