Wabunge January Makamba wa Bumbuli na Mo Dewji wa Singida mjini wakiwa meaza kuu na balozi wa TMH supa modo Flaviana Matata
AY na Juma Mabakila na pichani chini Mtendaji mkuu wa Tanzania Mitindo House Khadija Mwanamboka akiwa na wabunifu, mamodo na MC Taji Liundi wakati wa hafla hiyo ya Red Ribbon usiku wa kuamkia leo Double Tree hotel jijini Dar ambapo jumla ya shilingi milioni 24 zilichangwa kusaidia watoto yatima wanaolelewa na TMH
No comments:
Post a Comment