Monday, 7 May 2007

Haya Jumba Ukilivalia Shati La Silk Majibu Yanakuwa Hivyo!

Siku zote tukumbuke wadau zangu uvaapo suti au juma lolote kali kumbuka tena mashati yaliyotengenezwa kwa material ya silk yanakuwaga balaa ukiambatanisha kama pichani uonavyo pichani mkuu alivyokandamiza na suti nzito black na shati la silk maroon hivi ...mh sooo

1 comment:

DERRICK MUSHOBOZI said...

Nice out fit i really like it....