Kama kawaida ya mapigo nayowakilisha ndani ya blog yetu hii kuna baadhi ya warembo na wadau zangu wanajipigilia sawa sawa.Kama mrembo pichani anayekwenda kwa jina la shani alivyolipuka na kutoka safi..Keep it Up!
wewe mtu unayesema minyama uzembe. embu tuone picha zako zilivyo!siajabu minyama ya uzembe imekujaa mpaka inataka kudodoka. embu shut up acha roho ya korosho.dada kapendeza na ni mzuri usijilinganishe nae.
4 comments:
Punguzu minyama uzembe hiyo
tehetehe, acha wivu,dada wa watu kapendeza,waswahili bwana mtakufa na kijiba cha roho,hizo nyama za u zembe umezionaje mbona si hatuzioni
hivi kwanini binadamu hamtaki kukubali mwezenu akipendeza yaani mpaka mtoe kasoro,roho mbaya kama nyie wenyewe!
wewe mtu unayesema minyama uzembe. embu tuone picha zako zilivyo!siajabu minyama ya uzembe imekujaa mpaka inataka kudodoka. embu shut up acha roho ya korosho.dada kapendeza na ni mzuri usijilinganishe nae.
Post a Comment