Du wadau nimeona leo nichangie pamoja na nyie hiyo picha yaMwanamziki Maarufu Dunia Alicia Keys....Hawa masuperstar ni wazuri wa kwa muda flani ila siku ukiwakuta mambo yao yamewaendea kombo hasahasa kwenye Make Up kusema ukweli unaweza ukampita bila kumjua maanake habari inakuwa Olaaaaaaaaaaaaaa kama hiyo pichani...Balaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
No comments:
Post a Comment