Tuesday, 3 July 2007

Banana!

Huyo ndio Banana Zorro ambaye ni mmoja kati ya wanamziki mahiri sana pale bongo..nimeona nimweke leo wadau zangu ili muweze kumwona mwanamziki huyu pamoja na hiyo style yake mpya ya nywele ...mimi binafsi naona imempendeza kwakuwa kazi yake inamruhusu kuwa mbunifu wa vitu mbalimbali kwaajili ya kuteka washabiki wake..safi sana banana zoro....

3 comments:

Anonymous said...

mmmhhhhhhhhh naona alikuwa hana muda wa kwenda salon.

Anonymous said...

Nspenda sana nyimbo za Banana zina bamba kikubwa na hapo kapendeza sanaaaaa kip it up...

Faith S Hilary said...

Well...i was schoked as i saw this pic..coz i think he was thinkin crazy ideas and it came out crazy too