Kama kawaida pichani nikiwa na mmoja ya rafiki yangu na mdau wangu mkubwa sana wa blogu hii ya Sheria na mavazi sio mwingine ila mzee mzima Niko...vipi mzee mzima wape hi sana mzee mzima Alikunda,Messy,Liz,Ntemi,Alfred na wote huko na wape salamu na mkono wangu wa Eid Mubarak...Tupo Pamoja Tunawakilisha...
9 comments:
teh teh mzee mzima wa sheria na mavazi nimekukubali ni kweli unajua kuvaa simple na unapendeza naomba nikuulize swali?ni kwamba kila kituchotuwekea kwenye blog unavyo au unavyo baadhi yake?safi sana mkuu umetoka poa kwenye hiyo picha na nimekukubali na endelea kukaza buti na kutupa stock zaidi.
sheria umetokaaaaa!shani hapa
Si utani ! Mmependeza kisawasawa na endelezeni libeneke, EID Njema!
sheria kmbe handsome hivyo.lucy tz
nakuona son kama kawa unawakilisha chama letu la wapigania uhuru he he he pamoja bro 4 life .malumbo hapa cardiff wanaku holla na vitongoji vyake
mwe mwanawane kumbe na wewe unalipuka??umenogaaaa wangu..so fressh so clean..BIG UP!PAMOJA...
u r really luking great sheria,...show them wat u got.
kusema kweli mmependeza wazee, safi sana, endeleeni na msimamo huo huo
Umependeza sana Sheria,Matilda tz
Post a Comment