Wednesday, 9 May 2007
Mnaonaje Siku Wa
k
uu Ukilipuka
Hivyo?
Mnaonaje wakuu ukipata fursa ya kukamata stock kama hiyo hapo pichani kuanzia miwani hiyo,suti kama ilivyo pichani na ukamalizia na hizo travolta chini?je ukilipuka namna hiyo si itakuwa balaa ukiwa unanda kwenye bash party moja usiku?
1 comment:
DERRICK MUSHOBOZI
said...
Travolta haina mpinzani kiatu cha heshima hicho ukiingia nacho sehemu full salute
10 May 2007 at 06:39
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
Travolta haina mpinzani kiatu cha heshima hicho ukiingia nacho sehemu full salute
Post a Comment